
Viongozi wengine wa serikali waliofika Ofisini hapo ni Mkuu wa Wilaya
ya Kinondoni, Ally Hapi na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin
Sitta.
Hata hivyo, Tayari matangazo ya vituo vya Clouds FM na Clouds TV
vimerejea hewani baada ya kupotea siku nzima ya jana kutokana na
hitilafu iliyosababishwa na moto huo ambao chanzo chake hadi sasa
hakijajulikana.
chanzo: zanzibar24.
Comments