
“Mimi sina la kusem kwa sasa hivi ila la kwanza
namshukuru mwenyezi mungu sana,pili ninaishukuru mahakama kwa kutenda
haki na pia naishukuru sana seriakli yangu na hata nikitoka hapa
nitaenda makaburini naamini sasa naenda kumzika na akapumzike kwa
amani.”
Aliongea Mama Kanumba huku akilia kwa sauti.
Lulu alikutwa na kesi hiyo mwaka 2012, ambapo alimuua Kanumba
aliyekuwa mpenzi wake bila kukusudia kutokana na ugomvi wa mapenzi
waliokuwa nao wawili hao ambapo katika purukushani hizo Kanumba
alidondoaka na kuanguka chini na ndipo mauti yalipomkuta.
chanzo: zanzibar24.
Comments