
Taarifa
iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na
Teknolojia na kuthibitishwa na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan
Abbas imesema kuwa walimu ambao wamemaliza mwaka 2014/2015 na walituma
maombi yao kwenye tangazo la kazi ya Agust 10, 2017 hawatakiwa kuomba
upya kwani barua zao zinafanyiwa kazi.
chanzo:Mpekuziblog.
Comments