
Amesema kuwa Suala la kuchagawa linamtowa mudi wanafunzi kwani
anakuwa hana akili ya kibinadamu na haswa katika kipindi cha mitihani
inakuwa ni vigumu kufanya mtihani kwasababu hawezi kutumia akili yake
timamu.
Kwaupande wa viongozi wa kamati wa Skuli hiyo Mzee Salmini Jecha amesema kuwa “hakuna
budi wazazi wa wanafunzi hao kuwa pamoja na kamati ya Skuli na kamati
ya walimu kwasababu hatujuwi back ground ya vijana hao kwani mmoja
miongoni wao yanapomfika mambo hayo tu akiingia darasani wenziwe
wanakuwa wanachagawa nilazima tukae pamoja na wazazi na kuweza kuomba
dua sio kuanza kutafuta vitu vyakuchinja na kuanza kumwaga damu”
Endapo wazazi kamati na walimu ikiwa watashirikiana tatizo hili linaweza likaondoka.
chanzo:zanzibar24.
Comments