Mh. Mahmoud akizinduzi bodi mpya ya baraza hilo amesema mchango wao
ni mkubwa katika kuhakikisha huduma zinatolewa ipasavyo huku serikali
ikiunga mkono juhudi zao.
Mkurugenzi mkuu wizara ya afya jamala adamu amesema dhamira ya baraza
la madaktari ni kuongeza nguvu kazi kwa madaktari wenye taaluma ili
kukidhi mahitaji.
Naye mrajisi dr semeni shaabani mohamedi amesema kwa kipindi chote
baraza la madaktari limeweza kufanya kazi zake kwa ufanisi kuhakikisha
maadili ya taaluma ya udaktari hayavunjwi pamoja na kuchukua hatua za
kisheria kwa madaktari wanaokwenda.
chanzo:Zbc.
Comments