Akielezea lengo la mafunzo hayo huko skuli ya chasasa sekondari
mratibu wa kamisheni ya kukabiliana maafa pemba khamis arazak khamis
amesema ni kuwajengea uwezo wanafunzi wa dakhalia kuweza kujiokoa pale
maafa yanapotokea.
Katika mafunzo hayo afisa elimu sekondari himid omar ali amewataka
wanafunzi hao kufanya kazi ya kuichukua taaluma hiyo na kuipeleka kwa
wengine ili kuepusha athari za upotevu wa maisha na mali zao.
Nao baadhi ya wanafunzi hao wamesema elimu hiyo itawasaidia kujikinga na kuwaokoa wengine katika maafa mbali mbali.
Kamisheni ya kukabiliana maafa imeandaa mafunzo kwa wanafunzi wa
skuli za sekondari za dakhalia ili kujilinda na maafa mbalimbali ikiwemo
ya moto na maradhi ya mripuko.
Akielezea lengo la mafunzo hayo huko skuli ya chasasa sekondari
mratibu wa kamisheni ya kukabiliana maafa pemba khamis arazak khamis
amesema ni kuwajengea uwezo wanafunzi wa dakhalia kuweza kujiokoa pale
maafa yanapotokea
Katika mafunzo hayo afisa elimu sekondari himid omar ali amewataka
wanafunzi hao kufanya kazi ya kuichukua taaluma hiyo na kuipeleka kwa
wengine ili kuepusha athari za upotevu wa maisha na mali zao.
Nao baadhi ya wanafunzi hao wamesema elimu hiyo itawasaidia kujikinga na kuwaokoa wengine katika maafa mbali mbali.
Kamisheni ya kukabiliana maafa imeandaa mafunzo kwa wanafunzi wa
skuli za sekondari za dakhalia ili kujilinda na maafa mbalimbali ikiwemo
ya moto na maradhi ya mripuko.
Akielezea lengo la mafunzo hayo huko skuli ya chasasa sekondari
mratibu wa kamisheni ya kukabiliana maafa pemba khamis arazak khamis
amesema ni kuwajengea uwezo wanafunzi wa dakhalia kuweza kujiokoa pale
maafa yanapotokea.
Katika mafunzo hayo afisa elimu sekondari himid omar ali amewataka
wanafunzi hao kufanya kazi ya kuichukua taaluma hiyo na kuipeleka kwa
wengine ili kuepusha athari za upotevu wa maisha na mali zao.
Nao baadhi ya wanafunzi hao wamesema elimu hiyo itawasaidia kujikinga na kuwaokoa wengine katika maafa mbali mbali.
Kamisheni ya kukabiliana maafa imeandaa mafunzo kwa wanafunzi wa
skuli za sekondari za dakhalia ili kujilinda na maafa mbalimbali ikiwemo
ya moto na maradhi ya mripuko.
Akielezea lengo la mafunzo hayo huko skuli ya chasasa sekondari
mratibu wa kamisheni ya kukabiliana maafa pemba khamis arazak khamis
amesema ni kuwajengea uwezo wanafunzi wa dakhalia kuweza kujiokoa pale
maafa yanapotokea.
Katika mafunzo hayo afisa elimu sekondari himid omar ali amewataka
wanafunzi hao kufanya kazi ya kuichukua taaluma hiyo na kuipeleka kwa
wengine ili kuepusha athari za upotevu wa maisha na mali zao.
Nao baadhi ya wanafunzi hao wamesema elimu hiyo itawasaidia kujikinga na kuwaokoa wengine katika maafa mbali mbali.
chanzo:Zbc.
Comments