
Mahakama hiyo imemtia hatiani Mshtakiwa na kumuhukumu kifungo cha
miaka 30 jela katika kosa la ubakaji ambalo alilitenda December 29, 2016
maeneo ya Kawe Ukwamani, Kinondoni.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu wa Mahakama hiyo Joyce Mushi ambapo
alisema mshtakiwa ametiwa hatiani kwa kosa la ubakaji hivyo anahukumiwa
kifungo cha miaka 30 jela.
chanzo:zanzibar24.
Comments