Amesema viongozi wataweza kuongoza vizuri katika taasisi zao endapo watazingatia maadili na kanuni za uongozi ambazo zinaelekeza kusikiliza ushauri kwa watendaji unaowaongoza.
Akifunga mafunzo kwa viongozi wa taasisi ya elimu ya juu ya vyuo
vikuu zanzibar zahlife, mh. Ahmada, amesema jamii imekuwa na matumaini
makubwa na wasomi kupitia taaluma zao, hivyo ni vyema kujijengea
mazingiza ya uaminifu tokea wakiwa vyuoni.
Makamu mwenyekiti wa zahlife, latifa khamis juakali, amesema pamoja
na matatizo mbali mbali yaliopo viongozi hao hawatokata tamaa katika
kugombania nafasi za uongozi.katika jamii.
chanzo:Zbc.
Comments