
Mafuriko hayo yamepelea mito 60 kujaa kupita kiasi hali
iliyosababisha watu zaidi ya Milioni 1.2 kuokolewa baada ya kuzingirwa
na maji.
Mamlaka zimesema kuwa makazi 38,000 na hekta 880,000 za mazao
zimeharibiwa vibaya. Serikali imetoa Dola za Kimarekani Milioni 103 kwa
wakazi hao kama msaada wa dharula.
chanzo: zanzibar24.
Comments