
Mtu huyo aliyejulikana kwa jina la Paulo anaeleza:-
” wakati napita maeneo ya Kibonde mzungu na pikipiki yangu kufika
sehemu nilihisi maji yananivuta sana ndipo nikaamua kuchupa kutoka
kwenye pikipiki na kaanza kuogelea huku maji yakinivuta,
mara nikaona
kuna gari yaChuo kikuu imesimama na nikaona watu wengi wakishuka ndani
ya gari ile, mmoja kati ya watu walioshuka nikamuona anakuja kwa lengo
la kuniokokoa,aliingia kwenye maji akaanza kuniambia “sogea kwa hapa
nilipo” nikwamwambia siwezi, ghafla nikamuona kazama chini na sikumuona
kuja juu tena”
“Maji yakaendelea kunivuta mpaka kufika maeneo ya katikati ambapo
pana mti ndio nikaukamata ule mti mpaka nilipokuja kuokolwewa”
Chanzo: zanzibar24.
Comments