Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete alihudhuria Bunge na kushangiliwa vilivyo na wabunge huku wakisema “tumekumiss, tumekumiss”.
Baada ya kuapishwa, Mama Salma alionesha makali yake kwa kuuliza
swali la nyongeza kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala
Bora, Angella Kairuki.
Kupiti Twita raisi msataafu Jakaya Kikwete aliandika kuwa ameshudia
kuapo cha mke wake na kumhakikishia kuwa sasa ni zamu yake kumuunga
mkono.
chanzo: zanzibar24.
Comments