Gaidi wa Stockholm akiri kutekeleza "kosa la ugaidi".

Polisi wametoa picha hii walipokuwa wakimsaka mshukiwaMshambuliaji aliyetumia lori kuwagonga watu mjini Stockholm huko Sweden, amekiri kutekeleza "kosa la ugaidi", hayo ni kwa mjibu wa wakili wake.
 
Hayo yamefanyika wakati wa kusikizwa kwa kesi ya mtu huyo aliyeko kifungoni.

Rakhmat Akilov, 39 kutoka Uzbekistan, amekiri mahakamani kuwa alihusika na shambulio hilo.


Watu wanne waliuwawa, baada ya lori kugongeshwa duka moja mnamo siku ya Ijumaa.
chanzo:Bbc.

Comments