
Hayo yamefanyika wakati wa kusikizwa kwa kesi ya mtu huyo aliyeko kifungoni.
Rakhmat Akilov, 39 kutoka Uzbekistan, amekiri mahakamani kuwa alihusika na shambulio hilo.
Watu wanne waliuwawa, baada ya lori kugongeshwa duka moja mnamo siku ya Ijumaa.
chanzo:Bbc.
Comments