
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika hilo amesema hadi sasa deni hilo limefikia Shilingi bilioni 275 ambalo linarudisha nyuma maendeleo ya shirika hilo.
Aidha amesema kuwa notisi hiyo ni kwa wateja wote wakubwa na wadogo wasiolipa watakatiwa umeme likiwemo shirika la umeme Zanzibar.
chanzo:zanzibar24.
Comments