
Taarifa hiyo imetangazwa mapema leo na Mwenyekiti wa Chama cha
Wananchi (CUF) ambae anatambulika na baraza la wasajili wa vyama vya
siasa nchini Prof. Ibrahim Lipumba, na kumteu mh sakaya kutokana na kazi yake nzuri anayo ifanya katika chama.
Sababu ya kukaimishwa sakaya katika nafasi hiyo ni kutokana na Maalim
Seifu kutofika ofisini nakuto hudhuria kwa baadhi ya vikao vinavyo
endeshwa na CUF vinavyo tambuliwa kikatiba na chama hicho.
Chanzo: zanzibar24.
Comments