MSD yakabidhiwa 100 hectares Kibaha.

Managing Director of MSD, Laurean Bwanakunu (the
Bohari ya Dawa (MSD) imetia saini hati ya makubaliano ya umilikishwaji ardhi iliyopo Misugusugu Kibaha lenye ukubwa wa kilomita za mraba 400,000 ambazo ni sawa na ukubwa wa hekari 100.


Eneo hilo ni maalum kwa ajili ya kuanzisha kiwanda cha dawa ili kutekeleza mradi wa uzalishaji dawa kwa ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi.




Mkurugenzi wa MSD, Lauren Bwanakunu amesema leo (Jumatatu) kuwa eneo hilo limenunuliwa kwa Sh2 bilioni.


chanzo:mwananchi.

Comments