Viti sita vitahifadhiwa wanawake, kwa ndege kadhaa.
Wanawake kadhaa akiwemo muhudumu mmoja wa ndege wamelalamikia ndege hiyo wakidai kuwa wamekuwa wakinyanyaswa kingono na abiria wa kiume.
Mkuu wa muungano wa Abiria nchini humo amepinga mpango huo wa viti, akiutaja kuwa wa kiubaguzi.
Hatua ya kutenge viti kulingana na jinsia fulani sio jambo la kawaida kimataifa.
chanzo;bbc.
Comments