Hivyo Tume inawataka wananchi kwenda kuangalia orodha hizo ili kama kuna kasoro zozote wanapaswa kuweka pingamizi kwa lengo la kunusuru kufutwa kwa walio na sifa.
Orodha hizo zimeekwa tangu tarehe 5/12/2016 na mwisho wa kwenda kutizama ni tarehe 12/12/2016.
chanzo;zanzibar24.
Comments