Serikali inachukua hatua hiyo baada ya kuona asilimia 93 ya Watanzania ni watumiaji wakubwa wa Nishati ya Mkaa na Kuni.
Waziri Prof. Maghembe amesema ukataji miti unatishia uhai wa
Watanzania kutokana na ukweli kwamba ukataji miti unasababisha ukame na
joto. “Nafikiri tukipandisha kodi ya mkaa, lazima utapanda bei maradufu
na hivyo idadi ya watu wanaokata miti kwa ajili ya uuzaji wa mkaa
itapungua, hapo tutakuwa tumeokoa misitu yetu” alisema Maghembe.
chanzo; zanzibar24.
Comments