Aliyemuingilia Ngombe aigia mikononi mwa polisi.

Jeshi la polisi mkoa wa Kaskazini Unguja linamshikilia mkaazi mmoja wa kijiji cha Kiwengwa mwenye umri wa miaka 52 kwa tuhuma za kumuingilia ngombe kosa amblo ni kinyume cha sheria.

Akizungumza na  Mwanahabari wetu  juu ya tukio hilo kamanda wa polisi wa mkoa huo Hasina Ramadhan Taufik, amemtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni Khamis Mlanjele Malongo ambapo anadaiwa  amemefanya kosa hilo  mnamo tarehe 18 mwezi huko kiwengwa mkoa wakaskazini Unguja.

Amesema uchunguzi wa tukio hilo unaendelea na utakapokamilika mtuhumiwa huyo  atafikishwa mahakamani kujibu shtaka lake.

chanzo; zanzibar24.

Comments