Ngonyani amesema miradi ya barabara inaweza kukwama kama viongozi wa vijiji, kata, tarafa, wilaya na mkoa hawatawaelimisha wananchi wao umuhimu wa barabara katika kusukuma uchumi wa viwanda hapa nchini.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Ngonyani amekiri kuwa madai ya fidia yamekuwa kikwazo katika kutekeleza miradi ya ujenzi wa barabara nchini.
chanzo;zanzibar24.
Comments