Mtoto wa miaka 14 ajinyonga baada ya kifo cha mama yake.

kitanziMwanafunzi wa Darasa la 6 wa Shule ya Msingi Kaloleni amejiua kwa kujinyonga baada ya kupata taarifa za kifo cha mama yake.

Kijana huyo Khalid Shaban (14) alijinyonga akiwa chumbani kwake ambapo iliingia baada ya kupata taarifa hiyo ya msiba.

Katika tukio hilo lilitokea Novemba 28 mwaka huu, saa 7.00 mchana katika eneo la kata ya Mabogini, Moshi lililovuta hisia za watu wengi  na kulazimika kufika kwente misiba hiyo miwili ya mama na mwanawe .

chanzo; zanzibar24

Comments