Akizungumza na Watumishi wa Umma wa Wilaya hiyo, Makonda alisema kuwa
wapo wanaoshinda kwa waganga na wanaotumia hirizi ili kujikinga
wasitumbuliwe.
Kwa upande wa Mkuu wa Wilaya hiyo DC Ally Hapi amesema kuwa
atahakikisha anawashughulikia watendaji ambao bado hawawajibiki ipasavyo
katika nafasi zao.
chanzo; zanzibar24.
Comments