Dkt. MATHEW MUSHI Mkuu wa Kitengo cha Dharura katika hospitali mtu
huyo aliingia katika hospitali hiyo kwa lengo la kuwatapeli wagonjwa
wanaofata matibabu hospitalini hapo.
Mtuhumiwa huyo anayedaiwa ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu Dodoma-UDOM
alidaiwa kuingia wakati hospitali hiyo kwa lengo hilo huku Dkt MATHEW
alieleza jinsi mtuhumiwa huyo alivyowahi kuwatapeli wagonjwa wengi
aliowahi kukutana nao.
Nae Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, LAZARO MAMBOSASA amethibitisha
kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo na kwamba Jeshi la Polisi linaendelea
kufanya uchunguzi zaidi.
chanzo;zanzibar24.
Comments